Miji nchini Ufaransa na Ubelgiji imekuwa ikitoa kuku bure kwa miaka mingi ili kukabiliana na upotevu wa chakula. Karibu na Pasaka mwaka 2015, mji wa Ufaransa wa Colmar ulianza kutoa kuku bure kwa ...
Namibia imesitisha uagizaji wa kuku na mayai kutoka kwa jirani yake Afrika Kusini, katika kukabiliana na mlipuko mbaya zaidi wa homa ya ndege katika historia yake, serikali ya Namibia imetangaza siku ...
Utafiti mpya umebaini kuwa, wafugaji hasa wa kuku wa kisasa na nguruwe nchini Tanzania, wanatumia dawa za kufubaza makali ya Virusi vya Ukimwi (ARV) kuongeza utagaji wa mayai kwa kuku na kuongeza ...